Chimbuko la Ukoo = KAUKI

Chimbuko la Ukoo = KAUKI
KAUKI

Jumamosi, 27 Juni 2026

RATIBA YA MAZISHI YA MAREH. BERNARD HUSSEIN KIVENULE - MAGUBIKE, IRINGA


RATIBA YA MAZISHI YA MAREH. BERNARD HUSSEIN KIVENULE

MAHALI: MAGUBIKE – IRINGA

TAREHE: JUMATANO 24 JUNI 2026

S/N

MUDA

TUKIO

MHUSIKA

1.

01:00 – 03:30 Asubuhi

KUWASILI nyumbani kwa Mareh. Bernard Hussein Kivenule – Magubike, Iringa

·       Ndugu

·       Waombolezaji

2.

 

03:30 – 04:00

 

CHAI Nyumbani

·       Ndugu

·       Waombelezaji

3.

04:00 – 06:00

Mchana

Maandalizi ya Kaburi kwa ajili ya Mazishi

·       Ndugu wa Marehemu

·       Familia

4.

06:00 – 07:00

IBADA ya Mazishi ya Mareh. Bernard Hussein Kivenule

·       Ndugu wa Marehemu

·       Waombolezaji

5.

07:00 – 07:30

Shughuli za KUAGA Mwili wa Marehemu

·       Ndugu wa Marehemu

·       Waombolezaji

6.

07:30 – 09:00

Alasiri

MAZISHI

·       Ndugu wa Marehemu,

·       Jamaa na Marafiki

7.

10:00 jioni

CHAKULA

·       Ndugu wa Marehemu

·       Waombolezaji

 

 

MWISHO

 




RATIBA YA MAZISHI YA MAREH. BERNARD HUSSEIN KIVENULE - JIJINI DAR ES SALAAM

  


 

RATIBA YA MAZISHI YA MAREH. BERNARD HUSSEIN KIVENULE

MAHALI: MATOSA KWA BONDIA – GOBA, DAR ES SALAAM

TAREHE: JUMANNE - 23 JUNI 2026

S/N

MUDA

TUKIO

MHUSIKA

1.

01:00 – 03:30 Asubuhi

KUANDAA MWILI wa Mareh. Bernard Hussein Kivenule – Hospitali ya Lugalo, Dar es Salaam

·       Ndugu wa Marehemu.

·       Hospitali ya Jeshi – Lugalo, Dar es Salaam

2.

 

03:30 – 04:00

 

CHAI Nyumbani

·       Ndugu na Waombelezaji

3.

04:00 – 06:00

Mchana

CHAKULA Nyumbani

·       Ndugu wa Marehemu

·       Waombolezaji Wote

·       Wageni

4.

06:00 - 07:00

 

Mwili wa Mareh. Bernard Hussein Kivenule KUWASILI Nyumbani

·       Ndugu wa Marehemu

·       Jeshi la Wananchi

5.

07:00 – 08:30

IBADA ya Mazishi ya Mareh. Bernard Hussein Kivenule

·       Ndugu wa Marehemu

·       Waombolezaji

·       Baba Mchungaji

Masheria

6.

08:30 – 09:30

Shughuli za KUAGA Mwili wa Marehemu

·       Ndugu wa Marehemu

·       Waombolezaji

7.

09:30 – 10:00

Jioni

Safari ya Kuelekea MAGUBIKE – IRINGA

·       Ndugu wa Marehemu,

·       Jamaa na Marafiki

·       Jeshi la Wananchi

 

 

MWISHO

 




Jumatatu, 22 Juni 2026

TANZIA


Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI) kwa niaba ya wanaukoo wa Kivenule, unasikitika kutangaza kifo cha Mzee BERNARD HUSSEIN KIVENULE (MNYAMLAFU) kilichotokea Tarehe 21 JUNI 2026, katika Hospitali ya Jeshi Lugalo - Jijini Dar es Salaam. 

Taratibu za Mazishi yanaendelea kufanyika nyumbani kwa watoto marehemu MATOSA kwa BONDIA - GOBA, Jijini Dar es Salaam. 

Mzee Bernard Hussein Kivenule atakumbukwa kwa mchango wako mkubwa katika kuipigania KAUKI na Mikutano yote ya Ukoo. Amekuwa mstari wa mbele katika kuhimiza umoja wa ukoo wa Kivenule. 

Hakuwahi kukosa kushiriki mikutano ya Ukoo iliyofanyika Kidamali na Magubike na maeneo mengine.

Mwenyezi Mungu ailaze, roho ya marehemu mahali pema peponi.

Bwana Alitoa na Sasa ametwaa Jina lake lihimidiwe. Amina