Chimbuko la Ukoo = KAUKI

Chimbuko la Ukoo = KAUKI
KAUKI

UMOJA WA UKOO WA KIVENULE (KAUKI)

UMOJA WA UKOO WA KIVENULE (KAUKI)
TANGAZO LA MKUTANO MKUU WA 14 WA KAUKI

Jumamosi, 28 Septemba 2024

TANZIA

 


TANZIA

Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI) unasikitika kutangaza kifo cha Mareh. ANNA VANULICHUMA NONGELE, kilichotokea katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili mnano tarehe 06 Septemba 2024, Jijini Dar es Salaam. Mareh. ANNA VANULICHUMA NONGELE ni Mama Mzazi wa Mwenyekiti wa Ukoo Ndugu Onesmo Bernard Kivenule.

Mazishi ya Mareh. ANNA VANULICHUMA NONGELE yamefanyika tarehe 08 Septemba 2024 Kijijini Magubike, Wilaya ya Iringa Vijijini katika Mkoa wa Iringa.

Mareh. ANNA VANULICHUMA NONGELE amekuwa akisumbuliwa na tatizo la Saratani toka mwezi Septemba 2023 na amekuwa akiendelea na matibabu mpaka mauti yalipomfika. Raha ya Milele Umpe Ee Bwana na Mwanga wa Milele umwangazie, apumzike kwa amani – Amina.

Mungu alitoa na leo ametwaa Jina lake Lihimidiwe. Amina.

 

Imetolewa na:

 

Adam Alphonce Kivenule

Katibu Mkuu wa KAUKI