Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI) umefanya uchaguzi wa Viongozi wa Kanda za Magubike, Kidamali na Irore. Hali kadhalika waliwachagua Wawakilishi kutoka Maeneo mbalimbali ikiwemo Kalenga, Mgongo, Iringa Mjini na Kihesa. Lengo la kuwapata viongozi hawa kama wawakilishi ni kusaidia kutoa taarifa kwa ndugu mbalimbali, hali kadhalika kuhamasisha Wanaukoo. Kwa upande wa Kanda ya Dar es Salaam hakuna viongozi wowote waliochaguliwa kwa sababu hakukuwa na ushiriki wa ndugu wengi toka Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa KAUKI, Orodha ya Viongozi wa Kanda waliochaguliwa imebainishwa hapa chini:
| A. | KANDA YA KIDAMALI | |||
| Cheo | Jina Kamili | |||
| 1. | Mwenyekiti | Ndg. George Sigatambule Kivenule | ||
| 2. | Makamu Mwenyekiti | Bi. Norah Edgar Kivenule | ||
| 3. | Katibu | Ndg. Jovin Daniel Kivenule | ||
| 4. | Naibu Katibu | Bi. German Peter Mhapa | ||
| 5. | Mweka Hazina | Bi. Dora Damas Kivenule | ||
|
| ||||
| B. | KANDA YA IRORE | |||
| 1. | Mwenyekiti | Bi. Lucy Pius Kivenule | ||
| 2. | Makamu Mwenyekiti | Ndg. Nasson Kivenule | ||
| 3. | Katibu | Ndg. Awamu Kivenule | ||
| 4. | Naibu Katibu | Bi. Vicky Kivenule | ||
| 5. | Mweka Hazina | Ndg. Onesmo Kivenule | ||
|
| ||||
| C. | KANDA YA MAGUBIKE | |||
| 1. | Mwenyekiti | Ndg. Vitus Nzala | ||
| 2. | Makamu Mwenyekiti | Ndg. Theodos Kivenule | ||
| 3. | Katibu | Bi. Edimary Nzala | ||
| 4. | Naibu Katibu | Ndg. Festo Kivenule | ||
| 5. | Mweka Hazina | Bi. Castilia Nzala | ||
|
| ||||
| D. | KANDA YA NDULI (Kulikuwa na Mwakilishi mmoja tu toka Mgongo hivyo kufanya uchaguzi usifanyike, badala yake Mwakilishi wa Mgongo alichaguliwa) | |||
| 1. | Mwenyekiti |
| ||
| 2. | Makamu Mwenyekiti |
| ||
| 3. | Katibu |
| ||
| 4. | Naibu Katibu |
| ||
| 5. | Mweka Hazina |
| ||
|
| ||||
| E. | KANDA YA DAR ES SALAAM NA MIKOA MINGINE | |||
|
| Itaendelea kusimamiwa na Viongozi wa KAUKI – hakukuwa na ushiriki wa Wanaukoo wengine toka Dar es Salaam, hivyo Viongozi wa KAUKI wataendelea kufanya kazi za Viongozi wa Kanda. | |||
|
|
| |||
| F. | MWAKILISHI - KALENGA | |||
|
| Mwakilishi | Bi. Grace I. Kivenule | ||
|
| ||||
| G. | MWAKILISHI MGONGO | |||
|
| Mwakilishi | Ndg. Adam Augustino Kivenule | ||
|
| ||||
| H. | MWAKILISHI KIHESA | |||
|
| Mwakilishi | Bi. Scola Alphonce Kivenule | ||
|
| ||||
| I. | MWAKILISHI IRINGA MJINI | |||
|
| Mwakilishi | Bi. Liberata Nzala | ||
|
| ||||
| J. | MWAKILISHI MIGOLI | |||
|
| Mwakilishi | Ndg. Joakim Kivenule | ||
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni