Chimbuko la Ukoo = KAUKI

Chimbuko la Ukoo = KAUKI
KAUKI

UMOJA WA UKOO WA KIVENULE (KAUKI)

UMOJA WA UKOO WA KIVENULE (KAUKI)
TANGAZO LA MKUTANO MKUU WA 14 WA KAUKI

Jumamosi, 28 Juni 2025

KAUKI YAFANYA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA KANDA

Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI) umefanya uchaguzi wa Viongozi wa Kanda za Magubike, Kidamali na Irore. Hali kadhalika waliwachagua Wawakilishi kutoka Maeneo mbalimbali ikiwemo Kalenga, Mgongo, Iringa Mjini na Kihesa. Lengo la kuwapata viongozi hawa kama wawakilishi ni kusaidia kutoa taarifa kwa ndugu mbalimbali, hali kadhalika kuhamasisha Wanaukoo. Kwa upande wa Kanda ya Dar es Salaam hakuna viongozi wowote waliochaguliwa kwa sababu hakukuwa na ushiriki wa ndugu wengi toka Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa KAUKI, Orodha ya Viongozi wa Kanda waliochaguliwa imebainishwa hapa chini:

A.

KANDA YA KIDAMALI

Cheo

Jina Kamili

1.

Mwenyekiti

Ndg. George Sigatambule Kivenule

2.

Makamu Mwenyekiti

Bi. Norah Edgar Kivenule

3.

Katibu

Ndg. Jovin Daniel Kivenule

4.

Naibu Katibu

Bi. German Peter Mhapa

5.

Mweka Hazina

Bi. Dora Damas Kivenule

 

B.

KANDA YA IRORE

1.

Mwenyekiti

Bi. Lucy Pius Kivenule

2.

Makamu Mwenyekiti

Ndg. Nasson Kivenule

3.

Katibu

Ndg. Awamu Kivenule

4.

Naibu Katibu

Bi. Vicky Kivenule

5.

Mweka Hazina

Ndg. Onesmo Kivenule

 

C.

KANDA YA MAGUBIKE

1.

Mwenyekiti

Ndg. Vitus Nzala

2.

Makamu Mwenyekiti

Ndg. Theodos Kivenule

3.

Katibu

Bi. Edimary Nzala

4.

Naibu Katibu

Ndg. Festo Kivenule

5.

Mweka Hazina

Bi. Castilia Nzala

 

D.

KANDA YA NDULI  (Kulikuwa na Mwakilishi mmoja tu toka Mgongo hivyo kufanya uchaguzi usifanyike, badala yake Mwakilishi wa Mgongo alichaguliwa)

1.

Mwenyekiti

 

2.

Makamu Mwenyekiti

 

3.

Katibu

 

4.

Naibu Katibu

 

5.

Mweka Hazina

 

 

E.

KANDA YA DAR ES SALAAM NA MIKOA MINGINE

 

Itaendelea kusimamiwa na Viongozi wa KAUKI – hakukuwa na ushiriki wa Wanaukoo wengine toka Dar es Salaam, hivyo Viongozi wa KAUKI wataendelea kufanya kazi za Viongozi wa Kanda.

 

 

F.

MWAKILISHI - KALENGA

 

Mwakilishi

Bi. Grace I. Kivenule

 

G.

MWAKILISHI MGONGO

 

Mwakilishi

Ndg. Adam Augustino Kivenule

 

H.

MWAKILISHI KIHESA

 

Mwakilishi

Bi. Scola Alphonce Kivenule

 

I.

MWAKILISHI IRINGA MJINI

 

Mwakilishi

Bi. Liberata Nzala

 

J.

MWAKILISHI MIGOLI

 

Mwakilishi

Ndg. Joakim Kivenule

 

 

 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni