VIONGOZI wa KAUKI toka Kanda za Dar es Salaam, Dodoma, MOROGORO na Mafinga, wamefanya kikao-mkakati kwa ajili ya kufanikisha Mkutano wa 13 WA KAUKI, utakaofanyika Kijijini Kidamali… Mkutano huo utafanyika tarehe 29 Juni 2024.
Taarifa zaidi zitatolewa ikiwemo Mapendekezo ya Bajeti.
Nawapongeza wote walioshiriki katika kikao hicho.
Asante
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni