Wa pili kutoka kushoto ni Mzee Brandino Hussein Kivenule, Mzee Athuman Mtono (Mtoto wa Sekivenule), Mzee Alexander Nyangalima (Mtoto wa Sekivenule)
Wa kwanza kushoto ni Ndugu Onesmo Bernard Kivenule na Dada Gloria Xavery Kivenule
Hii ni Blog inayomilikiwa na Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI), kwa ajili kuwahabarisha Ndugu na Wanaukoo, taarifa mbalimbali kuhusu Ukoo wa Kivenule. KAUKI ilianzishwa tarehe 18 Desemba 2005 kwenye Mkutano Mkuu wa Kwanza wa Ukoo wa Kivenule, uliofanyika Kijijini Kidamali, Mkoani Iringa. Shukrani ziwaendee wote walioshiriki kuanzisha KAUKI: Ndugu Faustino Sigatambule Kivenule, Ndugu Christian John Kivenule na Ndugu Adam Alphonce Kivenule.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni