Chimbuko la Ukoo = KAUKI

Chimbuko la Ukoo = KAUKI
KAUKI

UMOJA WA UKOO WA KIVENULE (KAUKI)

UMOJA WA UKOO WA KIVENULE (KAUKI)
TANGAZO LA MKUTANO MKUU WA 14 WA KAUKI

Jumamosi, 29 Juni 2024

UKOO WA KIVENULE WAFANYA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAKE

 


KAUKI YAFANYA UCHAGUZI WA VIONGOZI

Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI) umefanya Uchaguzi wa Viongozi wake. Uchaguzi huu umefanyika leo Kidamali, Iringa wakati wa Mkutano Mkuu wa 13 wa Ukoo.

Uchaguzi huo umehusisha uchaguzi wa Mwenyekiti wa Ukoo, Makamu wa Mwenyekiti wa Ukoo, Katibu Mkuu wa Ukoo, Makamu wake, Mweka Hazina na Walezi wa KAUKI.

Waliochaguliwa kushika nyadhifa hizo ni pamoja na:

1.    Ndugu Onesmo Bernard Kivenule aliyechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Ukoo

2.    Bi. Gloria Xavery Kivenule ambaye amechaguliwa kuwa Makamu wa Mwenyekiti wa Ukoo

3.    Ndugu Adam Alphonce Kivenule aliyechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Ukoo,

4.    Ndugu Christian John Kivenule aliyechaguliwa kuwa Katibu Msaidizi

5.    Ndugu Lesandu Peter Mhapa aliyechaguliwa kuwa Mweka Hazina wa Ukoo; na:

Waliochaguliwa kuwa Walezi wa Ukoo Ukoo wa

6.    Ndugu Faustino Sigatambule Kivenule

7.    Ndugu Vitus Nzala na

8.    Bi. Irene Kivenule  Kivenule.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni